У нас вы можете посмотреть бесплатно RC Makonda atangaza ratiba ya matukio Arusha | "Tutakula bata siku tatu" или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
SAFARI FIELD CHALLENGE: Hii hapa hotuba kamili ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda katika hafla ya ufunguzi wa shindano la waongoza watalii #SafariFieldChallenge ambapo ametaja matukio makubwa yaliyopangwa kufanyika jijini humo mwaka huu. Miongoni mwa matukio hayo ni kufunga mitaa kwa siku tatu kwa ajili ya kula raha, kualika wanaohitaji kufanya harusi, tamasha la magari na mengine kadhaa... Katika hotuba hii, pia Makonda amepiga marufuku magari ya watalii kukamatwa kuanzia saa Julai 01, 2024.