У нас вы можете посмотреть бесплатно KWANI TUMEKOSANA LINI? WANANCHI WA NYAMONGO WAMGOMEA CHANDI или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса savevideohd.ru
Habari na @Fredrizzo Jambo Tv Kufuatia Ziara ya mawaziri wawili May 30 Mhe. Mavunde waziri wa Madini na Mhe. Masauni waziri wa mambo ya ndani kutembelea kijiji cha nyamongo Tarime DC mkoani Maraambao walitarajiwa kuwasilisha katika viwanja vya shule ya Nyakabindi majira ya saa 4 asubuhi na wananchi kukusanyika na badala yake wakafika jioni majira ya saa 11 jambo ambalo lilionesha kuwakwaza wananchi waliyojikusanya tangu asubuhi, Akipanda jukwaani na kuwasilimu wananchi wa nyamongo Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara Ndg. Chandi Wananchi hao walionesha wazi hasira zao kwa kukataa salamu yake na kuzomea,.. "Kwani tumekosana lini?" alihoji Chandi M/kiti CCM Mara Tazama video #ccm #jambotv #trending #chandi